14/05/2024
Karibu kiwandani kwetu ujipatie mabati yenye ubora wa hali yajuu yasiopauka, kupata kutu wala kutoboka nabei zetu ni nafuu sana
Tunauza jumla pamoja na reja reja karibu sana kiwandani kwetu nabei zetu nik**a ifuatavyo:-
Bati migongo midogo g 30 sh 21,500/= pc1
Bati migongo mipana g 30 sh 21,500/= pc 1
Bati migongo midogo g 28 sh 37,000/= pc 1
Bati migongo mipana g 28 sh 38,000/= pc1
Bati aina ya versatile (mfano wa kigae) sh 40,000/= pc 1
Bati aina ya chenga chenga sh 25,500/=
Kofia g 30 sh 10,000 /=
Vale g 30 sh 10,000/=
Kofia g 28 sh 12,000/=
Vale g 28 sh12,000/=
Misumali sh 8500/= kg
Pia tunatoa ofa ya usafiri bure kutoka kiwandani kwetu
Ofa ya misumari pct 5 kuanzia bati 60 nakuendelea......
Pamoja na warranty ya miaka 15 yenye kubeba dhamana ya kutokupauka, kutoboka wala kupata kutu
Piah tunatoa ushauri nibube kuhusu kuezeka namabati haya
Karibu mpaka kiwandani tukuhudumie hata k**a uko mbali na sisi tupgie cm au WhatsApp no 0782982817.
Wasiliana nasi sasa tutakuhudumia
Tunapatikana Dar es salaam, Tazara karibu na Azam.
Usisahau ofa ya usafiri bure mpaka sehemu ulipo ndani ya Tanzania 🇹🇿 nzima