Fundi Chuma Imam Shafii

Fundi Chuma Imam Shafii Best metal works

Punguza ahadi let kazi tufanye.Karibu ofisini au wasiloana nasi Kwa 0652102806
03/12/2025

Punguza ahadi let kazi tufanye.
Karibu ofisini au wasiloana nasi Kwa 0652102806

Tupeni kazi....
25/10/2025

Tupeni kazi....

Finishing inaanzia kwenye milango na madirisha. Karibu ofisini au ukitaka kazi ifanyikie kwako tutakuja Kwa makubaliano....
08/10/2025

Finishing inaanzia kwenye milango na madirisha.
Karibu ofisini au ukitaka kazi ifanyikie kwako tutakuja Kwa makubaliano.
Tupo chamazi uwanja wa Azam unashukia kituo kinaitwa bamia mbele kidogo k**a unaelekea uwanjani tumeangaliana na sheli ya puma
Tumewasiliana nasi Kwa sim, sms, WhatsApp @

Vyote hivi  viko ofisini, unakuja na hela unaondoka na mzigo
23/09/2025

Vyote hivi viko ofisini, unakuja na hela unaondoka na mzigo

Milango ya single 350,000Dirisha 5x5 ni 80,000Unalipia na kubeba Kila kitu kipo tayari.Tupo chamazi uwanja wa Azam unash...
23/09/2025

Milango ya single 350,000
Dirisha 5x5 ni 80,000
Unalipia na kubeba Kila kitu kipo tayari.
Tupo chamazi uwanja wa Azam unashukia kituo kinaitwa bamia mbele kidogo k**a unaelekea uwanjani tumeangaliana na sheli ya puma
Mawasiliano 0652102806

Assalam alaykum.Boss kafurahi Leo njoo ujibebee Kila kitu tayari, unakuja na hela unabeba mzigo kupeleka site Madirisha ...
21/09/2025

Assalam alaykum.
Boss kafurahi Leo njoo ujibebee Kila kitu tayari, unakuja na hela unabeba mzigo kupeleka site
Madirisha ya 5x5 Bei ya ofa ni 80,000
Milango ya kisasa Iko tayari Kila kitu 350,000
Tupo chamazi uwanja wa Azam unashukia kituo kinaitwa bamia mbele kidogo k**a unaelekea uwanjani tumeangaliana na sheli ya puma.
Ukitaka delivery unaletewa Kwa kulipia gharama za usafiri.
Tu check Kwa 0652102806. Unaweza piga, uka WhatsApp au sms za kawaida utajibiwa.

16/09/2025

Hii ndo pick and pay Sasa
Yaani unachukua na kulipia na sio kuweka oda kwanza.
Madirisha ya 5x5 yapo tayari ofisini ni unafika na kubeba.
Bei kito ga kabisa 85,000@.
We njoo na usafiri wa kubeba kabisa...
Karibu ofisini chamazi uwanja wa Azam unashukia kituo kinaitwa bamia,mbele kidogo k**a unaelekea uwanjani tumeangaliana na sheli ya puma.
Mawasiliano @ 0652102806. Utachagua mwenyewe, upige, utume sms au WhatsApp.

Premium door design.Milango ya kisasa yenye kuipa nyumba yako thamani na muonekano.Tupe design unayotaka na vipimo tukuk...
06/08/2025

Premium door design.
Milango ya kisasa yenye kuipa nyumba yako thamani na muonekano.
Tupe design unayotaka na vipimo tukukabidhi kazi iliyokamilika.
Tupo Chamazi maeneo ya uwanja wa Azam Complex kituo kinaitwa bamia tumeangaliana na sheli ya Puma
Pia kazi zetu tunaweza mufanyia site kwako k**a ukihitaji.
Mawasiliano piga au WhatsApp 0652102806

31/03/2025

Tupo kazini....
K**a bado unaendelea na design zako za madirisha yeboyebo basi kazana Sana. Uimara, muonekano na utofauti.
Karibu bu na wewe ujipatie kilicho tofauti na wengine.
Tupo Chamazi maeneo ya uwanja wa Azam Complex kituo kinaitwa bamia tumeangaliana na sheli ya Puma.
Tupigie au WhatsApp 0652102806

Unaweza kujenga nyumba halafu ikatoa tafsiri mbaya au nzuri juu yako. Usipokuwa makini unaweza kujenga nyumba halafu ika...
13/03/2025

Unaweza kujenga nyumba halafu ikatoa tafsiri mbaya au nzuri juu yako. Usipokuwa makini unaweza kujenga nyumba halafu ikatoa tafsiri kwamba wewe ni mtu wa aina gani. Unajenga nyumba mtu akiiona tu anajua kuwa mwenyewe ni mtu mwenye uelewa wa mambo au ni wa kufata mkumbo. Unajenga nyumba mtu akiiona anajua wewe hela ipo au wa kuunga unga nk.
Cha ajabu sio kwamba kinachotofautisha ni labda vitu vya gharama au havipatikani, Bali ni katika kuchagua tu kipi ni muhimu na kipi sio lazima. Normally unakuta wengi wetu nyumba zetu tunazijaza vitu vingi Vizio na ulazima, marembo mengi nk. Wakati wenzetu ni vitu vichache vyenye unuhimu kwao. Mtu anachagua UA maurembo kibao, baadae anaanza kuona urembo wake umepitwa na wakati, wakati tajiri yeye anaweka dirisha kubwa la kupitisha hewa na mwanga wa kutosha lakini maua hazingatii. Anachoangalia ni usalama. Kwetu sasa mwenzangu na mimi anataka urembo kibao hata hauenei kwenye kadirisha Kako kadogo.
Tujifunze kuchagua vya muhimu na lazima kwenye ujenzi wetu Ili kuou gu,a gharama na masimango ya kilĂ  mtu kupita kwako a akutolea mfano mbaya kwenye kitu ulochowekeza hela. Pia itatupunguzia gharama kwa kuepuka visivyo vya msingi. Hata unapobargain na fundi k**a kitu ni simpo hatokukomalia tofauti na unapotaka complications.
Kwa ushauri na kazi kuhusu ujenzi wako kwenye upande wa chuma kuanzia kwenye mageti, madirisha nk usisite kuwasiliana nasi kwa kutupigia au WhatsApp 0652102806.
Tupo Chamazi maeneo ya uwanja wa Azam Complex kituo kinaitwa bamia tumeangaliana na sheli ya Puma

Watu wengine wamekuwa wakiuliza wakati sahihi wa kuweka hii milango ya kisasa. Jibu ni jepesi, ni kabla ya kupiga plasta...
25/02/2025

Watu wengine wamekuwa wakiuliza wakati sahihi wa kuweka hii milango ya kisasa. Jibu ni jepesi, ni kabla ya kupiga plasta. Hii inaondoa usumbufu wa gharama mara mbili lakini pia inafanya muonekano wa nyumba yako kuwa poa zaidi, ikumbukwe plaster ni sehemu ya finishing. Hiyo haimaanishi ukishapiga plaster huwezi weka hii milango ila tu sio vizuri na pengine hata ukiangalia baada ya kuwa umeshaweka milango utagubdua iloyowekwa kabla ya plasta itakuwa na muonekano mzuri zaidi.
Kwa mengi zaidi mawasiliano kupiga na WhatsApp 0652102806.
Tupo Chamazi maeneo ya uwanja wa Azam Complex kituo kinaitwa bamia tumeangaliana na sheli ya Puma.
Karibuni sana

Milango ya kipekee,Madirisha mazuri,Mageti ya kisasa,Balcony Kali,Majiko ya biashara NkMawasiliano kupiga , sms na Whats...
21/02/2025

Milango ya kipekee,
Madirisha mazuri,
Mageti ya kisasa,
Balcony Kali,
Majiko ya biashara
Nk
Mawasiliano kupiga , sms na WhatsApp 0652102806
Karibu sana tupo Chamazi maeneo ya uwanja wa Azam Complex kituo kinaitwa bamia tumeangaliana na sheli ya Puma

Address

Bamia Chamazi Azam Complex
Dar Es Salaam

Telephone

+255652102806

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fundi Chuma Imam Shafii posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share