Trust Mabati

Trust Mabati Tunajihusisha na Kuzalisha na Kusambaza Bati Delivery ni Free Tanzania Nzima Kuanzia Pc 80

K**apala Red ni Rangi Iliyofanya Vizuri Msimu Huu Kwenye Mauzo.Scrow kulia uone miundo tofauti ya bati zake.Kwanini Kamp...
05/05/2026

K**apala Red ni Rangi Iliyofanya Vizuri Msimu Huu Kwenye Mauzo.Scrow kulia uone miundo tofauti ya bati zake.
Kwanini Kampla Red?
✅Inamvuto wa Rangi yake
✅Ni rafikia sehemu zenye jua kali,kidongo chekundu na vumbi kwani inaficha.
✅Inaendana na rangi nyingine za nyumba K**a white,cream au beige
✅Ni trend ya sasa.
✅Upatikanaji na bei yake ni rafiki.

Ipo kwenye offer bei yake kwa Gauge 30
Migongo Mipana ni 20,500
Migongo Midogo ni 20,500
Mfano wa Kigae ni 35,000

Kuanzia Pc 50> Tunatoa
✅Free Delivery
✅Misumari ya Offer

Tunapatikana Tabata Matumbi,Dar-es-
0712305680/0756544417

17/04/2026

UNAHITAJI NYUMBA YA KISASA KWANINI PAA LAKO LIWE LA ZAMANI? ✅Suluhisho lako ni bati ya VERSATILE CHENGA CHENGA kwa itakupa muonekano mzuri wa nyumba yako na thamani ya nyumba ya kisasa. ✅Ni nzuri zaidi ikikatwa kwa vipimo ili iwe na muonekano mzuri wa kuvutia bila kuungwa ungwa na kukatwakatwa. ✅Inapatikana kwa rangi ya Charcoal Grey,Brick Red,Coffe na Green 👍Good News:Ipo kwenye sale Gauge (G) 30:Mita 12,000/= Gauge (G) 28:Mita 14,000/= TUPO TABATA MATUMBI DAR TUPIGIE KWA : 0756 544 417 ezekatz

14/03/2026
16/02/2026

MABATI KUELEKEA MAPINGA
MTEJA WETU

MISUMARI BURE
USAFIRI BURE

TUPO TABATA MATUMBI DAR
TUPIGIE KWA : 0712305680



ezekatz

12/02/2026

MABATI KUELEKEA MAPINGA
MTEJA WETU

MISUMARI BURE
USAFIRI BURE

TUPO TABATA MATUMBI DAR
TUPIGIE KWA : 0756 544 417



ezekatz

06/02/2026

UNAHITAJI NYUMBA YA KISASA KWANINI PAA LAKO LIWE LA ZAMANI?
✅Suluhisho lako ni bati ya kisaaa kwaani itakupa muonekano mzuri wa nyumba yako na thamani ya nyumba ya kisasa.

✅Ni nzuri zaidi kwani coat yake imewekwa zaidi ya mara tatu na kuongeza nakshi za chenga zinazoongeza mvuto pia Kuzuia bati kupauka mapema(Warranty Miaka 10)

✅Inapatikana kwa rangi ya Charcoal Grey,Brick Red,Coffe na Green
👍Good News:Ipo kwenye sale
Gauge (G)30:Pic 24,000
Gauge (G) 30:Mita 10,000
Gauge (G) 28:Mita 13,000

TUPO TABATA MATUMBI DAR
TUPIGIE KWA : 0712305680



ezekatz

04/02/2026

UNAHITAJI NYUMBA YA KISASA KWANINI PAA LAKO LIWE LA ZAMANI?
✅Suluhisho lako ni bati kutoka trust mabatu kwaan itakupa muonekano mzuri wa nyumba yako na thamani ya nyumba ya kisasa.

✅Ni nzuri zaidi kwani coat yake imewekwa zaidi ya mara tatu na kuongeza nakshi za chenga zinazoongeza mvuto pia Kuzuia bati kupauka mapema(Warranty Miaka 10)

✅Inapatikana kwa rangi ya Charcoal Grey,Brick Red,Coffe na Green
👍Good News:Ipo kwenye sale
Gauge (G)30:Pic 24,000
Gauge (G) 30:Mita 10,000
Gauge (G) 28:Mita 13,000

TUPO TABATA MATUMBI DAR
TUPIGIE KWA : 0712305680



ezekatz

03/02/2026

UNAHITAJI NYUMBA YA KISASA KWANINI PAA LAKO LIWE LA ZAMANI?
✅Suluhisho lako ni bati ya CHENGA CHENGA kwa itakupa muonekano mzuri wa nyumba yako na thamani ya nyumba ya kisasa.

✅Ni nzuri zaidi kwani coat yake imewekwa zaidi ya mara tatu na kuongeza nakshi za chenga zinazoongeza mvuto pia Kuzuia bati kupauka mapema(Warranty Miaka 10)

✅Inapatikana kwa rangi ya Charcoal Grey,Brick Red,Coffe na Green
👍Good News:Ipo kwenye sale
Gauge (G)30:Pic 24,000
Gauge (G) 30:Mita 10,000
Gauge (G) 28:Mita 13,000

TUPO TABATA MATUMBI DAR
TUPIGIE KWA : 0756 544 417



ezekatz

31/01/2026

Unafahami Kuna Rangi Inaitwa Carrot kwenye Bati
Rangi Hii inawaka kwa wanaopenda mng’ao kubwa kabisa rangi hii haipauki haraka(Orginal)

Huwa Haikai K**a Unaipenda wahi bado ipo

Tsh 21,500/=

kumbuka ni
Free Delivery
Offer ya Misumari
Ushauri ni Bure

Mawasiliano
0756544417

bati

MUHIMU!!Naitwa Beatrice Mk**a ni sales wa kiwanda cha trust najivunia kutoa huduma bora kwa wateja wetu leo naomba kujul...
03/10/2025

MUHIMU!!
Naitwa Beatrice Mk**a ni sales wa kiwanda cha trust najivunia kutoa huduma bora kwa wateja wetu leo naomba kujulisha Wapendwa Wateja Wetu Hizi Ndio Account za Kiwanda Cha Trust kwa CRDB na NMB

Kumekua na wimbi la watu matapeli kutumia account za kiwanda kufanya utapeli kwa wateja na kutoa order na mizigo haifiki kwa wateja na kiwandani bati zinakua zimetolewa tayari baadae mteja anaanza kulalamika alitumia account yetu hili lanafanyiwa kazi kwa watu hao amabo sio waaminifu.

❗️TAHADHALI
Ukiona k**a ulikuja kiwandani na sikuhudumia au uliwasiliana na mimi baadae ukadharau ukaanguka kwenye mikono ya madalali au matapeli bila kujithibitishia ukalipa na usipate mzigo tafadhali usitulaumu na sitakua responsible kwa hilo.

✅SULUHISHO
Ukifika kiwandani ukafatwa na dalali au tapeli ambae ulikua huna mihadi naye mkatae.Kwa Mteja wa Mara ya kwanza Umependa bati fika kiwandani ama agiza muwakilishi afike/ufike kiwandani ajiridhishe ama ujiridhishe na huduma zetu ndio ufanye malipo hakikisha mtu unaemfikia ni sales wa kiwandani anaetambulika na hana sifa ya utapeli na ukiona haupo kwenye mikono sahihi au unawasiwasi na mtu anaekuhudumia omba msahada kabla hujalipia pesa zako.

✳️MWISHO
Tunathamimi pesa zenu wateja wetu matamanio yetu ni kuwapa huduma nzuri ili mrudi tena na tena ama kutupa wateja wengine bila nyie hatuwezi kuendelea na shughhuli za uzalishaji ama mauzo.

Karibu kwa ushauri na zaidi kuhusu bati
Whatsapp/Call
0712305680

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Trust Mabati posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Trust Mabati:

Share