28/05/2026
π JMAX TECHNOLOGY: UBUNIFU NA UFANISI KATIKA USALAMA WAKO! π
Je, unatafuta usalama wa uhakika kwa nyumba au ofisi yako? Jmax Technology tuko hapa kukupa suluhisho za kisasa, imara na zenye uaminifu mkubwa. π‘οΈ
π Wasiliana nasi sasa: 0769169244
πΉ 1. KAMERA ZA CCTV (CCTV CAMERAS)
Pata picha angavu (HD) zinazokusaidia kutambua wahalifu kwa urahisi.
β
Seti ya Kamera 4 = 750,000/=
β
Seti ya Kamera 8 = 1,200,000/=
β
Seti ya Kamera 16 = 1,900,000/=
(Bei ni pamoja na vifaa na ufundi!)
β‘ 2. FENSI ZA UMEME (ELECTRIC FENCES)
Tunatumia vifaa vyenye ubora wa hali ya juu na ufundi unaozingatia muonekano mzuri wa ukuta wako.
β
Bei: 17,000 - 20,000 kwa mita moja.
π± Unaweza ku-control na kupata taarifa kupitia simu yako popote ulipo!
πͺ 3. MOTA ZA GETI (GATE MOTORS)
Fungua na ufunge geti lako kwa Rimoti (hadi mita 100) au kwa Simu yako! Zina betri, hivyo zinafanya kazi hata umeme ukikatika.
β
D3 (Kg 300) = 1,200,000/=
β
D5 (Kg 500) = 1,400,000/=
β
D6 (Kg 600) = 1,600,000/=
(Bei ni pamoja na vifaa na ufundi!)
π 4. KENGELE ZA VIDEO (VIDEO DOORBELL)
Muone na zungumza na mgeni wako kabla hujamruhusu kuingia.
β
Normal Video Doorbell = 450,000/=
β
Networking Video Doorbell = 800,000/=
π Tunapatikana: Dar es Salaam
βοΈ Mikoa Yote: Tunafanya kazi mikoa yote ya Tanzania!
π€ Uaminifu na Ubora ndio Kipaumbele Chetu!
π Piga simu sasa kwa huduma ya haraka: 0769169244
Tanzania Usalama DarEsSalaam SmartHome