09/01/2026
*TANGAZO LA KAZI YA UWAKALA WA KUUZA VIFAA VYA UJENZI*
Tunakaribisha watu walio na sifa zilizoorodheshwa hapo chini kwa ajili ya kuwa Mawakala (Agents) wa kuuza vifaa vya ujenzi kwenye *Kampuni ya Rugars Investment Company Limited*
Kesho siku ya Jumamosi yatafanyika mafunzo maalum kwa ajili ya watu hao walio tayari.
*Sifa za Mwombaji*
-Awe Mtanzania
-Awe na Elimu ya Kidato cha Nne na kuendelea.
-Umri wa miaka 20-45
-Awe anaweza kutumia vifaa vya kielectronic k**a computer na simu pamoja na matumizi ya mitandao ya kijamii.
*MUUNDO WA KAZI*
-Kila wakala anafanyia kazi mkoa anaoishi haina ulazima wa kuhama.
Vifaa vinavyouzwa kwa njia ya uwakala kwasasa
-Bati za Rangi aina zote na kampuni mbalimbali.
-Misumari aina zote
-Kofia za Bati
-Valley/gata za bati
-Nondo
-Tiles(Marumaru)
*MALIPO*
Zipo njia 3 za malipo
-Malipo yanafanyika kwa njia ya Commission kila unapofanya mauzo.
-Malipo ya bonus pale mtu uliyemsajili kwenye mfumo wetu k**a Agent chini ya Team yako atakapouza. Malipo haya hufanyika kwa Vizazi, 10% kizazi cha kwanza na 2% kizazi cha pili.
-Malipo ya Bonus 100,000 kwa Agent atakayefikia target ya mauzo ya sh.10,000,000 kwa mwezi.
Sambaza ujumbe huu kw yeyote aliyetayari atume ujumbe kwenye namba ya simu *0768183114* kwa sms au Whatsapp ili atumiwe link ya mafunzo yatakayofanyika kesho Jumamosi 10/01/2026 saa 11 jioni kwa njia ya Google Meeting.
Imetolewa na:-
Kelvin Neckemiah
Kwa niaba ya uongozi,
Rugars Investment Company Limited.;