Bati Bomba Tz

Bati Bomba Tz Niwauzaji na wasambazaji wa bidhaa za ujenzi kama Bati,Nondo,Mbao,Misumali, na vingine vingi

13/04/2026
10/03/2026
💥💥💥OFA OFA 💥💥💥FURAHIA PUNGUZO LA BEI MOJA KWA MOJA KIWANDANI MSIMU HUU:💥💥💥 Utakapofanya manunuzi kiwandani kwetu utajipa...
09/03/2026

💥💥💥OFA OFA 💥💥💥

FURAHIA PUNGUZO LA BEI MOJA KWA MOJA KIWANDANI MSIMU HUU:💥💥💥
Utakapofanya manunuzi kiwandani kwetu utajipatia;
📎Huduma ya usafiri bure popote ndani ya Tanzania,
📎Ushauri wa kiufundi jinsi ya kuezeka bure,
📎Misumari bure kg 5

JIPATIE BATI TOKA KIWANDANI NA USAFIRISHIWE FREE ADI SAITI KWA BATI 80 NA KUENDELEA

WhatsApp au piga: (WhatsApp or call)
☎️+255 0795 931 981.

BEI ZETU NI K**A ZIFATAZO
______________________________________________

G30 - Tsh21,500/-Mabati ya Msouth Migongo Midogo na mipana .FT 10
📎Bando Tsh 344,000 /= zinakaa pc16.

G28 - Tsh36,500/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana na midogo .FT 10
📎Bando Tsh 438,000/= zinakaa pc 12.

G30-Tsh36,500/-Mabati ya Msouth Bati za Vigae.FT 10
📎Bando Tsh 365,000/= zinakaa pc, 10.

G28 - Tsh42,000/-Mabati ya Msouth Bati za Vigae.FT 10
📎Bando Tsh 420,000/=zinakaa pc 10.

G28-Tsh 46,500/-Mabati ya Msouth bati za lugoba.FT 10
📎Bando Tsh 465,000/= zinakaa pc 10.

NB:
💥💥KWA WATEJA WA MIKOANI💥💥

👇Utaratibu wetu k**a ifuatavyo👇

malipo popote ulipo unaweza kuyafanya kupitia akaunti za ofisini CRDB BANK ndiyo tunayotumia , ukishafanya malipo utatuma bank slip kuonyesha malipo yako kisha tunakuandalia oda yako, vile vile kabla ya malipo unaweza kumtuma mwakilishi wako ndugu au rafiki akafika ofisini kujiridhisha kuangalia utaratibu wote kisha ukafanya hayo malipo yako wewe mwenyewe moja kwa moja au kupitia huyo mwakilishi wako akalipia yeye na tunakukatia oda yako karibu sana ndugu mteja.

● tunasafirisha bure mikoa yote nchi nzima ukiweka oda yako utapokea bati zako kwa haraka sana

Piga 0795931981

Address

Mbozi Load
Dar Es Salaam
25

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bati Bomba Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share