Bati bomba Tz

Bati bomba Tz Ni wazalishaji na wasambazaji wa vifaa vya ujenzi vya Aina vyote

0767457374
22/01/2026

0767457374

💥💥💥OFA OFA 💥💥💥FURAHIA PUNGUZO LA BEI MOJA KWA MOJA KIWANDANI MSIMU HUU:💥💥💥 Utakapofanya manunuzi kiwandani kwetu utajipa...
26/11/2025

💥💥💥OFA OFA 💥💥💥

FURAHIA PUNGUZO LA BEI MOJA KWA MOJA KIWANDANI MSIMU HUU:💥💥💥
Utakapofanya manunuzi kiwandani kwetu utajipatia;
📎Huduma ya usafiri bure popote ndani ya Tanzania,
📎Ushauri wa kiufundi jinsi ya kuezeka bure,
📎Misumari bure kg 5

JIPATIE BATI TOKA KIWANDANI NA USAFIRISHIWE FREE ADI SAITI KWA BATI 80 NA KUENDELEA

WhatsApp au piga: (WhatsApp or call)
☎️ 0767457374

BEI ZETU NI K**A ZIFATAZO
______________________________________________

G30 - Tsh22,000/-Mabati ya Msouth Migongo Midogo na mipana .FT 10
📎Bando Tsh 352,000 /= zinakaa pc16.

G28 - Tsh36,500/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana na midogo .FT 10
📎Bando Tsh 438,000/= zinakaa pc 12.

G30-Tsh36,500/-Mabati ya Msouth Bati za Vigae.FT 10
📎Bando Tsh 365,000/= zinakaa pc, 10.

G28 - Tsh42,000/-Mabati ya Msouth Bati za Vigae.FT 10
📎Bando Tsh 420,000/=zinakaa pc 10.

G28-Tsh 46,500/-Mabati ya Msouth bati za lugoba.FT 10
📎Bando Tsh 465,000/= zinakaa pc 10.

NB:
💥💥KWA WATEJA WA MIKOANI💥💥

👇Utaratibu wetu k**a ifuatavyo👇

malipo popote ulipo unaweza kuyafanya kupitia akaunti za ofisini CRDB BANK ndiyo tunayotumia , ukishafanya malipo utatuma bank slip kuonyesha malipo yako kisha tunakuandalia oda yako, vile vile kabla ya malipo unaweza kumtuma mwakilishi wako ndugu au rafiki akafika ofisini kujiridhisha kuangalia utaratibu wote kisha ukafanya hayo malipo yako wewe mwenyewe moja kwa moja au kupitia huyo mwakilishi wako akalipia yeye na tunakukatia oda yako karibu sana ndugu mteja.

● tunasafirisha bure mikoa yote nchi nzima ukiweka oda yako utapokea bati zako kwa haraka sana

📍📝NOTE 👇
FAHAMU ZAIDI NINI MAANA YA GEJI
geji ni ule unene wa bati kuna aina mbalimbali za geji k**a vile 30, 28 , 26 na 24 , jinsi namba ya geji inavyoshuka chini ndiyo unene wa bati unavyoongezeka kwa mfano geji 30 na 28 bati ya geji 28 ina unene zaidi kulinganisha na geji 30 hivyo basi geji 28 ni kubwa zaidi kuliko geji 30

SWALI : JE NI GEJI GANI NZURI
Kuanzia geji 30 , 28 na kuendelea ni nzuri kwa matumizi ya nyumba, maghala na viwanda

Kwa matumizi ya nyumba tunashauri utumie geji 30 au 28 ingawa geji 28 ipo juu(bei ) ukilinganisha na geji 30

Kwa matumizi ya maghala , viwanda , majengo makubwa tunakushauri utumie geji 28 kuezekea

Je? Unajua utofauti uliopo kati ya Mabati ya BATI BOMBA (T) LTD'S na Mabati mengine?

Mabati ya BATI BOMBA (T) LTD'S ni Mabati yaliyozingatia Teknolojia kubwa inayoyafanya Mabati ya yasipauke Wala Kutoboka wala kupata kutu kutokana na madini yaliyotumika kutengeneza Mabati ikiwemo ALUMINIUM NA ZINK (Alzink)

NB;Kutokana na maoni kuwa mengi tunashindwa kumjibu kila mtu kwa wakati hivyo tunashauri kuja WhatsApp au kupiga simu moja kwa moja tutakusikiliza haraka zaidi
☎️0767457374
🛑TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM

26/11/2025
💥💥💥OFA OFA 💥💥💥FURAHIA PUNGUZO LA BEI MOJA KWA MOJA KIWANDANI MSIMU HUU:💥💥💥 Utakapofanya manunuzi kiwandani kwetu utajipa...
10/08/2025

💥💥💥OFA OFA 💥💥💥

FURAHIA PUNGUZO LA BEI MOJA KWA MOJA KIWANDANI MSIMU HUU:💥💥💥
Utakapofanya manunuzi kiwandani kwetu utajipatia;
📎Huduma ya usafiri bure popote ndani ya Tanzania,
📎Ushauri wa kiufundi jinsi ya kuezeka bure,
📎Misumari bure kg 5

JIPATIE BATI TOKA KIWANDANI NA USAFIRISHIWE FREE ADI SAITI KWA BATI 80 NA KUENDELEA

WhatsApp au piga: (WhatsApp or call)
☎️ 0767457374

BEI ZETU NI K**A ZIFATAZO
______________________________________________

G30 - Tsh22,000/-Mabati ya Msouth Migongo Midogo na mipana .FT 10
📎Bando Tsh 352,000 /= zinakaa pc16.

G28 - Tsh36,500/-Mabat ya Msouth Migongo Mipana na midogo .FT 10
📎Bando Tsh 438,000/= zinakaa pc 12.

G30-Tsh36,500/-Mabati ya Msouth Bati za Vigae.FT 10
📎Bando Tsh 365,000/= zinakaa pc, 10.

G28 - Tsh42,000/-Mabati ya Msouth Bati za Vigae.FT 10
📎Bando Tsh 420,000/=zinakaa pc 10.

G28-Tsh 46,500/-Mabati ya Msouth bati za lugoba.FT 10
📎Bando Tsh 465,000/= zinakaa pc 10.

NB:
💥💥KWA WATEJA WA MIKOANI💥💥

👇Utaratibu wetu k**a ifuatavyo👇

malipo popote ulipo unaweza kuyafanya kupitia akaunti za ofisini CRDB BANK ndiyo tunayotumia , ukishafanya malipo utatuma bank slip kuonyesha malipo yako kisha tunakuandalia oda yako, vile vile kabla ya malipo unaweza kumtuma mwakilishi wako ndugu au rafiki akafika ofisini kujiridhisha kuangalia utaratibu wote kisha ukafanya hayo malipo yako wewe mwenyewe moja kwa moja au kupitia huyo mwakilishi wako akalipia yeye na tunakukatia oda yako karibu sana ndugu mteja.

● tunasafirisha bure mikoa yote nchi nzima ukiweka oda yako utapokea bati zako kwa haraka sana

📍📝NOTE 👇
FAHAMU ZAIDI NINI MAANA YA GEJI
geji ni ule unene wa bati kuna aina mbalimbali za geji k**a vile 30, 28 , 26 na 24 , jinsi namba ya geji inavyoshuka chini ndiyo unene wa bati unavyoongezeka kwa mfano geji 30 na 28 bati ya geji 28 ina unene zaidi kulinganisha na geji 30 hivyo basi geji 28 ni kubwa zaidi kuliko geji 30

SWALI : JE NI GEJI GANI NZURI
Kuanzia geji 30 , 28 na kuendelea ni nzuri kwa matumizi ya nyumba, maghala na viwanda

Kwa matumizi ya nyumba tunashauri utumie geji 30 au 28 ingawa geji 28 ipo juu(bei ) ukilinganisha na geji 30

Kwa matumizi ya maghala , viwanda , majengo makubwa tunakushauri utumie geji 28 kuezekea

Je? Unajua utofauti uliopo kati ya Mabati ya BATI BOMBA (T) LTD'S na Mabati mengine?

Mabati ya BATI BOMBA (T) LTD'S ni Mabati yaliyozingatia Teknolojia kubwa inayoyafanya Mabati ya yasipauke Wala Kutoboka wala kupata kutu kutokana na madini yaliyotumika kutengeneza Mabati ikiwemo ALUMINIUM NA ZINK (Alzink)

NB;Kutokana na maoni kuwa mengi tunashindwa kumjibu kila mtu kwa wakati hivyo tunashauri kuja WhatsApp au kupiga simu moja kwa moja tutakusikiliza haraka zaidi
☎️0767457374
🛑TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM

04/08/2025

0767457374

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bati bomba Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share